Ut tellus dolor, dapibus eget, elementum ifend cursus eleifend, elit. Aenea ifen dn tor wisi Aliquam er at volutpat. Dui ac tui end cursus eleifendrpis.
Simu Namba:
+255736932424
S. L. P. 30852 Kibaha, Pwani
Tanzania
Barua Pepe:
info@nyumbusaccos.co.tz
Mkopo wa Ujenzi
Kiwango cha juu cha mkopo cha hadi TZS 50,000-100M
Mkopo wa Biashara
Kiwango cha juu cha mkopo cha hadi TZS 50,000-100M
Mkopo wa Kilimo na Ufugaji
Kiwango cha juu cha mkopo cha hadi TZS 50,000-100M
Mkopo wa Elimu
Omba Mkopo wa ada ya Shule ili kusaidia kulipia elimu yako au ya watoto wako. Pata viwango vya riba vya ushindani na masharti mazuri ya ulipaji ili kufikia malengo yako ya elimu.
Kiwango cha juu cha mkopo cha hadi TZS 50,000-100M
Unatolewa kulingana na mwenendo wa kilimo na ufugaji
Mkopo wa vyombo vya Moto
Hii ni bidhaa ya mkopo iliyoundwa kuhudumia wanachama wanaotaka kuanzisha biashara ya Ushafirishaji au Matumizi binafsi wa vyombo vya moto (mfano Bodaboda na Magari) ili kujiongezea kipato. Inafikiwa kwa kutumia mkopo mwingine wowote uliopo ambao hutumika kulipia gharama ya chombo husika.
Mkopo wa vifaa vya Kielektronik
Mkopo wa Dharura Kiwango cha juu cha mkopo cha hadi TZS 50,000- 3M
Mkopo wa Kujikimu
Mkopo wa DharuraKiwango cha juu cha mkopo cha hadi TZS 50,000-3M
Mkopo wa Papo kwa Hapo
Hii ni bidhaa ya mkopo iliyoundwa kwa ajili ya wanachama ambao wana mahitaji ya ufadhili ya muda mfupi yasiyozidi masaa 48. Inalenga kuwezesha wanachama kupata mikopo nafuu ili kuongeza mahitaji yao ya mtaji wa kufanya kazi.
Vipengele vya bidhaa na faida:-
Mkopo wa wikiendi/Sikukuu
Mkopo wa DharuraKiwango cha juu cha mkopo cha hadi TZS 50,000-300,000
Huduma nyinginezo