





NYUMBU Savings and Credit Cooperative society Limited (NYUMBU SACCOS LTD) ilianzishwa na kuandikishwa tarehe 18/09/1989 na kupewa Hati ya usajili namaba CR 290 kwa sheria ya ushirika ya mwaka 1982 ambapo kwa sasa Chama kinafanya shughuli zake chini ya Sheria namba 6 ya Ushirika ya mwaka 2013 na kanuni zake sambamba na Sheria ya Taasisi ndogo za Fedha ya mwaka 2018 na kanuni zake za mwaka 2019.
NYUMBU SACCOS LTD inatoa aina mbalimbali za bidhaa na huduma zilizoundwa ili kukidhi mahitaji mahususi ya wanachama wetu. Bidhaa na huduma zetu ni pamoja na:-
1. Tunapokea Akiba, Amana, Akiba Maalum (FD);
2. Wastaafu skimu;
3. Mikopo ya maendeleo
4. Mikopo ya Dharura na kujikimu.
Tunalenga kutoa masuluhisho ya hali ya juu ambayo yanaendesha mafanikio ya wanachama na kuzidi matarajio yao.

“Nimekuwa mwanachama wa SACCOS hii kwa muda mrefu sana na nimefurahishwa sana na huduma wanazotoa. Wanajali wateja wao na wamekuwa wakitoa mikopo kwa urahisi na kwa masharti nafuu sana.”
“Kabla ya kujiunga na SACCOS hii, nilikuwa na wasiwasi kuhusu upatikanaji wa mikopo na masharti yake. Lakini, huduma ya haraka, masharti nafuu na msaada wa kitaalamu wa SACCOS hii umenisaidia sana katika kukuza biashara yangu.”
“Nyumbu Saccos Ltd imekua msaada mkubwa kwangu na kwa familia yangu.”