Thamani Yako, Dhamira Yetu.

Ut tellus dolor, dapibus eget, elementum ifend cursus eleifend, elit. Aenea ifen dn tor wisi Aliquam er at volutpat. Dui ac tui end cursus eleifendrpis.

Recent Articles

Simu Namba:
+255736932424

S. L. P. 30852 Kibaha, Pwani
Tanzania

Barua Pepe:
info@nyumbusaccos.co.tz

Kuhusu Sisi

UTANGULIZI

NYUMBU SACCOS LTD

NYUMBU Savings and Credit Cooperative society Limited (NYUMBU SACCOS LTD) ilianzishwa na kuandikishwa tarehe 18/09/1989 na kupewa Hati ya usajili namaba CR 290 kwa sheria ya ushirika ya mwaka 1982 ambapo kwa sasa Chama kinafanya shughuli zake chini ya Sheria namba 6 ya Ushirika ya mwaka 2013 na kanuni zake sambamba na Sheria ya Taasisi ndogo za Fedha ya mwaka 2018 na kanuni zake za mwaka 2019.

about 6 2
about 6 2

DIRA

Dira yetu ni kuwa moja ya SACCOS bora zinazotoa huduma bora kwa wanachama wake katika Tanzania (Kama ilivyo katika Mpango Mkakati wa NYUMBU SACCOS LTD)

DHIMA

Dhima kuu ya NYUMBU SACCOS LTD ni kutoa huduma za akiba na mikopo kwa wanachama wake pamoja na kuinua na kustawisha hali ya uchumi na maisha yao kwa kuanzisha na kumiliki -NYUMBU SACCOS kidemokrasia na kuchangia mtaji na kukubali kuyakabili matatizo na kupata manufaa kwa kufuata sheria, kanuni na taratibu za Vyama vya Ushirika.

NYUMBU SACCOS LTD

NYUMBU SACCOS LTD inatoa aina mbalimbali za bidhaa na huduma zilizoundwa ili kukidhi mahitaji mahususi ya wanachama wetu. Bidhaa na huduma zetu ni pamoja na:-

1. Tunapokea Akiba, Amana, Akiba Maalum (FD);
2. Wastaafu Skimu;
3. Mikopo ya maendeleo na
4. Mikopo ya Dharura na Kujikimu.

Tunalenga kutoa masuluhisho ya hali ya juu ambayo yanaendesha mafanikio ya wanachama na kuzidi matarajio yao.

about 6 2